ARSENAL YACHAPWA 2-0 NA NEWCASTLE ST JAMES’ PARK-Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

ARSENAL YACHAPWA 2-0 NA NEWCASTLE ST JAMES’ PARK-Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB

WENYEJI, Newcastle United wameibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Champions League bid in a buoyant 2-0 St James' Park, Newcastle upon Tyne.
Mabao ya Newcastle United yamefungwa na Ben White aliyejifunga dakika ya 55 na Bruno Guimarães dakika ya 85 na kwa ushindi huo wanafikisha pointi 46 katika mchezo wa 37 na kusogea nafasi ya 12.
Arsenal baada ya kipigo hicho wanabaki na pointi zao 66 za mechi 37 sasa nafasi ya tano, wakizidi kupoteza matumaini ya kucheza Ligi ya Mabingwa msimu ujao.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz