Rasmi, Elon Musk ameinunua kampuni ya Twitter kwa kiasi cha ($44 Billion) zaidi ya TSh. Trilioni 102. Hivyo tajiri huyo namba moja duniani kwa sasa ndio mmiliki wa mtandao huo wa Kijamii na ameahidi kuufanya bora kuliko awali.
Rasmi, Elon Musk ameinunua kampuni ya Twitter kwa kiasi cha ($44 Billion) zaidi ya TSh. Trilioni 102. Hivyo tajiri huyo namba moja duniani kwa sasa ndio mmiliki wa mtandao huo wa Kijamii na ameahidi kuufanya bora kuliko awali.
No comments:
Post a Comment