Aliyewahi kuwa Rais wa Zambia, Rupiah Banda amefariki akiwa na umri wa miaka 85. Aligundulika kuwa na saratani ya utumbo mwaka 2020. Banda ni Rais wa nne wa Zambia aliyechaguliwa kidemokrasia. Aliongoza kuanzia mwaka 2008 hadi 2011. #RIPBanda Download our APP from Google Playstore using the link here>>>Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE Read more
No comments:
Post a Comment