"Sijiuzulu na wala sitoki, nina nia ya kuendeleza industry ya nchi hii.” Amesema Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT) Steven Mengere, maarufu Steve Nyerere na kuongeza kwamba uteuzi wake ukitenguliwa atakwenda mahakamani.
"Sijiuzulu na wala sitoki, nina nia ya kuendeleza industry ya nchi hii.” Amesema Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT) Steven Mengere, maarufu Steve Nyerere na kuongeza kwamba uteuzi wake ukitenguliwa atakwenda mahakamani.
No comments:
Post a Comment