Baba Levo "Mwijaku Hafai Kuwa Msemaji wa Wasanij, Hana Busara Alimpigia Kampeni Burnaboy Ashinde BET Badala ya Mondi" - EDUSPORTSTZ

Latest

Baba Levo "Mwijaku Hafai Kuwa Msemaji wa Wasanij, Hana Busara Alimpigia Kampeni Burnaboy Ashinde BET Badala ya Mondi"


@officialbabalevo ameonesha kumpinga moja kwa moja @mwijaku na kusema kwamba hafai kuwepo Kwenye kiti cha usemaji wa shirikisho la Muziki Tanzania.

“Tuzo za BET mwijaku alikuwa mstari wa mbele kumpinga Diamond na kutaka watanzania wampigie kura Burnaboy aende akawasemee wa Nigeria”





Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz