Tulipigwa..Rwanda Hakuna Pisi Kali..Tanzania Tunatisha Sana - EDUSPORTSTZ

Latest

Tulipigwa..Rwanda Hakuna Pisi Kali..Tanzania Tunatisha Sana


Tumekuwa tukiambiwa kwamba Rwanda kuna pisi kali lakini kiukweli Tanzania kuna pisi kali sana kuliko nchi yoyote africa.

Wanaosema Tanzania hakuna pisi kali ni wale ambao hawana hela ila kama unahela utaungana na mimi kuthibitisha kwamba Tanzania kuna pisi kali sana.

Somalia, Ethiopia au Rwanda hazifui dafu kwa wanawake wa Tanzania kwa urembo na uzuri wa asili. Mfano nchi ya Rwanda, Wanyarwanda wachache sana ndio wazuri ila wengi waliobaki hawana maajabu ila Tanzania pisi nyingi zipo hot. In fact ninadiriki kusema kwamba kwa mujibu wa utafiti wangu, Tanzania kuna pisi kali sana kuliko nchi yoyote Africa.

By Hope Tyga




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz