Msanii #Rayvanny aweka wazi kuchukizwa na kitendo hiki cha jina lake kutokujumuishwa kwenye orodha ya washariki katika TUZO, na orodha hiyo akapewa Mhe. Rais kwaajili ya kuwapongeza.
Una mtazamo gani juu ya hili⁉️
Download our APP from Google Playstore using the link here>>>
Join Our Telegram Channel for Daily UpdatesCLICK HERE
No comments:
Post a Comment