Mwanamke Awapigia Simu Polisi Kulalamikia Kutopigwa Busu - EDUSPORTSTZ

Latest

Mwanamke Awapigia Simu Polisi Kulalamikia Kutopigwa Busu



Mwanamke mmoja amewapigia polisi simu huko Lincolnshire nchini Uingereza kuripoti kuwa mpenzi wake hakumpiga busu, kwa mujibu wa polisi wa kituo hicho. Sasa polisi wametoa wito kwa watu kutumia namba hiyo yao ya 999 kwa masuala ya dharura tu haswa wakati maisha au mali vimo hatarini.

Pilisi wanasema wengine hutumia namba hiyo ya simu kuuliza kuhusu daktari wa meno au kuripoti ukosefu wa maji. Wanasema wakati wa krimasis huwa wa shughuli nyingi zaidi wa mwaka. “Kutupigia simu kwa 999 kwa sababu mpenzi wako hawezi kukubusu haina maana,” Polisi walisema.

“Tunajaribu kuelewa sababu za watu kupiga 999 kama ni uwongo, zisizo na maana au zisizofaa, lakini tunabaki kushangaa ni kwa nini”

Mwaka uliopita kati ya terehe 20 Desemba na Januari 2, kituo cha simu cha polisi kilipokea takriban siku 265 za dharuraMwanamke mmoja amewapigia polisi simu huko Lincolnshire nchini Uingereza kuripoti kuwa mpenzi wake hakumpiga busu, kwa mujibu wa polisi wa kituo hicho.


 
Sasa polisi wametoa wito kwa watu kutumia namba hiyo yao ya 999 kwa masuala ya dharura tu haswa wakati maisha au mali vimo hatarini. Pilisi wanasema wengine hutumia namba hiyo ya simu kuuliza kuhusu daktari wa meno au kuripoti ukosefu wa maji.

Wanasema wakati wa krimasis huwa wa shughuli nyingi zaidi wa mwaka. “Kutupigia simu kwa 999 kwa sababu mpenzi wako hawezi kukubusu haina maana,” Polisi walisema.

“Tunajaribu kuelewa sababu za watu kupiga 999 kama ni uwongo, zisizo na maana au zisizofaa, lakini tunabaki kushangaa ni kwa nini.”


Mwaka uliopita kati ya terehe 20 Desemba na Januari 2, kituo cha simu cha polisi kilipokea takriban siku 265 za dharura kwa siku licha ya nchi kuwa chini ya amri ya kutotembea kufutaia sheria za covid. Polisi walisema watu wanastahili kupiga namba ya 999 wakati mtu au au kitu kipo kwenye hatari au wakati uhalifu unafanyika, msemaji alisema.

Mike Modder-Fitch, ambaye anasimamia kituo cha polisi cha kupokea simu anasema simu zinazotupa muda zinaweza kuzuia watu wanaohitajia msaada wa dharura wa kuwatishia maisha kufika.

“Iwapo tutahisi sio dharura ya kweli lakini bado ni suala la jamii, tutaipeleka simu yako kwa mtu mwingine ambaye anaweza pia kukusaidia ili isifungie simu zingine za 999,” alisema.

“Kama ni simu ya uwongo au si suala la kijamii basi tutaikata kuruhusu simu zingine kuingia.” kwa siku licha ya nchi kuwa chini ya amri ya kutotembea kufutaia sheria za covid. Polisi walisema watu wanastahili kupiga namba ya 999 wakati mtu au au kitu kipo kwenye hatari au wakati uhalifu unafanyika, msemaji alisema.


 
Mike Modder-Fitch, ambaye anasimamia kituo cha polisi cha kupokea simu anasema simu zinazotupa muda zinaweza kuzuia watu wanaohitajia msaada wa dharura wa kuwatishia maisha kufika.

“Iwapo tutahisi sio dharura ya kweli lakini bado ni suala la jamii, tutaipeleka simu yako kwa mtu mwingine ambaye anaweza pia kukusaidia ili isifungie simu zingine za 999,” alisema. “Kama ni simu ya uongo au si suala la kijamii basi tutaikata kuruhusu simu zingine kuingia.”




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz