Mange Kimambi Aruka Ruka Kwa Furaha Baada ya Kupata Passport "Nyie Haki imerudi Tanzania" - EDUSPORTSTZ

Latest

Mange Kimambi Aruka Ruka Kwa Furaha Baada ya Kupata Passport "Nyie Haki imerudi Tanzania"


Mange Kimambi Ameandika Haya kupitia Ukurasa wake wa Instagram

"Nyie amkeniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,

Serikali ya haki, serikali ya demokrasia, serikali ya Mama Samia imenipa passport yangu ambayo ni haki yangu kama Mtanzania ila haki hii nilinyimwa chini ya serikali ya kidikteta. Kwa muda wa miaka 3 niliishi bila passport. Sijatoa mguu marekani kwa miaka 5…

Safari ya kwanza itakuwa kwa mama yangu @mwelentuli . I’m coming mama.

Aisee jina langu lilikuwa blacklisted huko immigration. Ahsanteni wooote mliofanya juhudi mpaka nipata passport. Najua msingependa niwataje ila naomba mjue nawashukuru sana. Kwako Waziri wa mambo ya ndani, Simbachawene, Ahsante maana nilijua kukusumbua😩

HABARI KAMA  HIZI UNAZIPATA KUTOKA APP YA UDAKU SPECIAL PEKEE  DOWNLOAD  HAPA UWE NAYO KWENYE SIMU YAKO

Nyie haki imerudi Tanzania. Mjue mimi nilisha give up kuhusu kupewa passport. Dah, yani nna furaha leo utasema nna passport ya nchi gani sijui 🤣🤣🤣🤣..

Tanzania nakupenda kwa moyo woooote.

Uwiiii jamani leo natoa yooooote 🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️" Mange Kimambi




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz