Jamaa Amuomba Msamaha AMBER Rose Kwa Kumsaliti na Wanawake 12 - EDUSPORTSTZ

Latest

Jamaa Amuomba Msamaha AMBER Rose Kwa Kumsaliti na Wanawake 12

 


Huenda ikawa Kanye West amewavutia watu wengi kuiga kitendo alichofanya kwa kukiri makosa yake hadharani na kuomba radhi Kim Kardshian warudiane, baada ya Alexander Edward aliyekuwa mpenzi wa Amber Rose nae kuomba msamaha Amber na kutaka warudiane tena.

Amber aliachana na Alex miezi michache iliyopita baada ya kugundua Alex alimsaliti kwa kutembea na wanawake 12. Alex amekiri kufanya usaliti huo na yuko tayari kufanya lolote ili kuhakikisha anarudiana tena na Amber.





Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz