Samia Suluhu "Chato Bado Kuwa Mkoa, Kuna Vigezo Vikikizi Tunamaliza Jambo Hilo" - EDUSPORTSTZ

Latest

Samia Suluhu "Chato Bado Kuwa Mkoa, Kuna Vigezo Vikikizi Tunamaliza Jambo Hilo"


Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassani akiwa Chato leo amesema Serikali inakamilisha vigezo vinavyoruhusu Chato kuwa Mkoa ——— "haujawa bado Mkoa kuna vigezo kadhaa ambavyo bado tunaendelea kuviangalia na vigezo hivi vikikidhi tutalimaliza jambo hilo"

"Tumekuja Chato kwa lengo la kumuenzi Hayati Magufuli, ni mzaliwa wa hapa Chato na kwa hakika alipapenda sana na sisi tunaendeleza upendo wake"

"Nafahamu yapo mambo ambayo Hayati Magufuli aliwaahidi Wana Chato wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 ikiwemo upanuzi wa Bandari, kukamilisha ujenzi wa Uwanja wa Ndege Chato, Hospitali ya Wilaya, VETA pamoja na Stendi, nawahakikishia miradi yote itatekelezwa"———Rais Samia




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz