Mwimbaji wa Bongo Fleva, Linex ametoa ujumbe ulioibua hisia mseto kuhusu ukaribu wake na Lulu Diva.
"Kokote ukimuona Lulu Diva jua ana Kaka yake Mjeda, so make sure una respect mdogo wake mjeda halafu staki maswali wewe jua tu kwamba ana kaka yake mjeda tena mkimuona sehemu muwe mnaniambia kaka yake " amesema Linex.
No comments:
Post a Comment