Drake Amkataa Kanye West Mazima - EDUSPORTSTZ

Latest

Drake Amkataa Kanye West Mazima



Uhusiano kati ya Rapper Drake na Kanye West umeendelea kuwa mbaya zaidi baada ya Champagne Papi kuamuwa kum-unfollow Ye kwenye ukurasa wake wa instagram baada ya miaka mitano ya kumfuata (follow) kwenye mtandao huo.

Wawili hao wapo kwenye ugomvi  kwa muda mrefu, lakini hali hiyo haikumfanya Drake kutom-follow Kanye Instagram hadi siku ya Jumatatu wiki hii alipoamuwa kumkataa mazima.









Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz