Diamond Platnumz Kuanza Tour Yake Muziki Nchini Marekani.. - EDUSPORTSTZ

Latest

Diamond Platnumz Kuanza Tour Yake Muziki Nchini Marekani..


Supastaa 'Naseeb' @diamondplatnumz anatupa karata yake ya kwanza leo mjini Atlanta kwenye tour yake ya kimuziki nchini Marekani.

Kwa mujibu wa ratiba yake #Diamond anatarajia kufanya show 11 nchini humo katika miji mbalimbali. Tour hiyo inayoanza leo Ijumaa Oktoba 8, itafikia tamati Oktoba 31, 2021.

Aidha, @diamondplatnumz amerejea Marekani ikiwa ni miezi kadhaa tangu akanyange ardhi hiyo, alipohudhuruia hafla ya utoaji wa tuzo za BET 2021 ambapo alikuwa anawania tuzo ya Best International Act.





Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz