Bondia wa Tanzania Hassan Mwakinyo ametetea ubingwa wa Super Welterweight baada ya kumpiga Bondia Mnamibia Julius Indogo katika Raundi ya nne tu ya mchezo kwa TKO kwenye pambano lilofanyika usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Ubungo Plaza.
Download our APP from Google Playstore using the link here>>>
Join Our Telegram Channel for Daily UpdatesCLICK HERE
No comments:
Post a Comment