Jinsi Madaktari Walivyowezesha Mwanangu Kupona Kifua Kikuu Ugonjwa Uliomsumbua Kwa Muda Mrefu - EDUSPORTSTZ

Latest

Jinsi Madaktari Walivyowezesha Mwanangu Kupona Kifua Kikuu Ugonjwa Uliomsumbua Kwa Muda Mrefu

  


Kifua kikuu ni ugonjwa ambao hua sugu sana katika maisha ya binadamu. Mara nyingi ugonjwa  huu unaweza kuwa tishio la maisha kwani watu wengi hufariki kutokana na ugonjwa huu. Tuliishi mjini Kisumu ambao kwa kawaida huwa ni mji ambao huwa na joto jingi kutokana na  uwepo wa ziwa la Victoria. Mwanangu alianza kuonyesha dalili za kuwa na joto jingi mwilini na  hapo mimi na mume wangu tukaona kwamba pengine alikuwa na malaria kutokana na uwepo wa  joto jingi sehemu ile pia mbu walikuwa mara dufu. Tulimnunulia dawa za kujikinga kutokana na  malaria na kila alipopata nafuu shughuli zetu zilirejea kama kawaida. Muda uliposonga hali  ilikuwa vile vile na tulijitwika jukumu la kumnunulia dawa za malaria bila hata ya kumpeleka  kwenye zahanati au hospitali yeyote tajika mjini Kisumu. Wakati mwengine hali yake ilikuwa  imedhoofika sana na alianza kuwa na joto jingi mwilini. 

Alipoteza uwezo wa kula na kila alipojaribu kula hata chakula kidogo alitapika mara kwa mara. Hali ikawa mbaya zaidi kwani alitetemeka mwili mzima swala lililopelekea mimi na mume  wangu kutafuta huduma za hospitalini kwenye hospitali ya kiserekali mjini. Alitibiwa na baada  ya wiki moja tukarejea naye nyumbani. Ama kwa hakika hali ilirejea na tukafurahia kuona  mwana wetu akiwa katika hali nzuri. Siku zilipoenda ndipo mambo yalipoanza kubadilika. Mara  mwana wetu alilalamikia maumivu ya kichwa kila mara. Alipoteza tena uwezo wa kula na mara  hii alitapika damu. Hii ilikuwa tu ni ishara ya kwamba ugonjwa ule ulikuwa umerudi mara hii  kwa nguvu zaidi kushinda hapo awali. Mara kwa wakati mwingine aliaanguka tu kila wakati na  hata kuzimia. Tulimkimbiza hospitalini kwa ajili ya matibabu. Wiki mbili kwenye hospitali  hapakuwa na ishara kwamba angepata nafuu ya haraka kwani hakuonyesha dalili zozote za 

kupona kwa wakati ule. Mioyo yetu ilishtuka mimi na mume wangu kwani madaktari walisema  kuwa ugonjwa ule ulikuwa umemlemea mwana wetu na kuwa ingechukua muda ili apone. 

Hatukuwa na budi ila kungoja lakini tulikuwa wafanyibiashara kwa hivyo muda wetu mwingi  haugeturuhusu kukaa pale hospitalini. Tulihitaji muda wa kufanya biashara kwani bishara ile ya  hoteli ndio iliyokimu mahitaji yetu kama familia. Tulikaa pale hospitalini kwa muda wa wiki  mbili na mwana wetu hakuonyesha dalili kuwa angepata nafuu hivi karibuni. Hali ilikuwa hata  mbaya zaidi. 

Tulitafuta matibabu mbadala na hapo Juma ambaye alikuwa rafiki wa familia yetu akatuelekeza  kwa daktari Kiwanga aliyepatikana mjini Kericho. Tulijitwika jukumu na kusafiri hadi mjini  Kericho kwani tulitaka mtoto wetu awe mwenye buheri wa afya kwani ndiye alikuwa mwana  wetu wa pekee. Tulifika afisini kwa daktari Kiwanga pamoja na mwana wetu. Alimfanyia  uchunguzi na hapo akatuarifu ya kwamba alikuwa na kifua kikuu ambapo iwapo angekaa kwa  wiki mbili zaidi basi angekua keshafariki. Daktari Kiwanga alimshughulikia na hapo akatupa  tumaini kwamba mwana wetu baada ya siku tatu hali ingekuwa shwari kabisa. Tulirejea  nyumbani na kwa kweli baada ya siku tatu, alianza kucheza na marafiki zake huku akionekana  kuwa mchangamfu kweli. Hali yake ya kula ilirejea mara tena ishara tosha kwamba matibabu ya  daktari Kiwanga yalikuwa ya kweli na yenye kutegemewa kwa wakati wowote. Tangu siku ile  mwana wetu hajawahi tena kuugua ugonjwa sugu wa kifua kikuu. 

Daktari Kiwanga ana uwezo wa kutibu magonjwa kama vile kifafa na msukumo wa damu kwa  muda wa siku tatu pekee. Ana pia uwezo wa kukusuluhishia migogoro ya ndoa ambayo huwa  kero kubwa kwa wanandoa wengi. Isitoshe ni mtu ambaye anaweza kufanya biashara yako  iliyoanguka kunawiri ajabu. . 


Kwa mengi zaidi wasiliana nao kupitia barua pepe kiwangadoctors@gmail.com ama kwenye wavuti www.kiwangadoctors.com ama waweza  kuwasiliana nao kupitia nambari ya simu +254 769404965.






Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz