Kumekua na utata, wa miaka nenda Rudi, Kati ya mashabiki wa @diamondplatnumz na mashabiki wa@officialalikiba.
π Mashabiki wa @diamondplatnumz wamekua ,wakisema @officialalikiba ,sio msanii wakumlinganisha na diamond, kwasababu Diamond, ameshafika mbali kimuziki, wanaamini kwamba alikiba ,sio level ya Diamond tenaa.
π Baadhi ya mashabiki wa diamond wanasemaa , diamond alinganishwe na wasanii wakubwa njee ya Tanzania Kama vile @davido @wizkid @burnaboy .
πWakati huo huo mashabiki wa @officialalikiba wamekua wakiamin ,kwamba ,alikiba ndio msanii mkubwa sanaa ambaye amedumu katika music industry kwa muda mrefu,bila kupotea kwenye game..
π Mashabiki wa alikiba wamekua wakimuita Diamond,sadara . Wanaamini kwamba sadara bado ni mchanga katika MUZIKI,japo anamafanikio makubwa..
DIAMOND NA ALIKIBA WANATOFAUTIANA VIPI???
1.Katika Mitandao ya kijamii
π Instagram, diamond anawafuasi million 13.2
Wakati, alikiba ana wafuasi million 7.3
π YouTube Diamond ana subscribers million5.68 , wakati alikiba ana subscribers million 1.09
UTAJIRI NA MAFANIKIO
πKwa data za tar.10july2021 diamond alikua na UTAJIRI wa dolla million 7.
Wakati alikiba ,utajir wake haukuwekwa wazi! Japo kuna data zinasema anautajiri wa Dola million 4.5.
πKatika mafanikio,bila kukaa upande wowote tunaona Diamond platnumz ana mafanikio makubwa kuliko alikiba , kutokana na Mali za kifahari anazo miliki..na mafanikio ya nyimbo zake anazotoa tunayaona..
JE NI YAPI MAONI YAKO ????
No comments:
Post a Comment