Furaha ya @rayvanny kukaa namba moja on trending YouTube katika maudhui ya jumla imekatishwa ghafla na msanii @ibraah_tz , Rayvanny ambaye alikuwa nafasi ya juu akiwa na Whozu wimbo unaoitwa Chawa ametolewa kwenye nafasi hiyo na Ibrah aliyeingia na wimbo wake wa Jipinde.
Baada ya Rayvanny kumtoa @harmonize_tz on trending kwenye nafasi ya kwanza alishangilia na kujipa jina la Lecturer ikiwa na maana ya Rayvanny ni zaidi ya Harmonize anayejiita Teacher.
Rayanny aliandikaπ
“LECTURER ππππππ NUMBER UNOOOO πππ FUKUZAAAAAAAAA CHAWAAAAAAAAA
So proud of you whozu_ π₯π₯π₯π₯π₯π₯”
Kwasasa Lecturer bado haamini kilichotokeaπ
No comments:
Post a Comment