Kimenuka Steve Nyerere na Humphrey Pole Pole..."Una Roho Mbaya na Matukio ya Ajabu" - EDUSPORTSTZ

Latest

Kimenuka Steve Nyerere na Humphrey Pole Pole..."Una Roho Mbaya na Matukio ya Ajabu"



WACHA NISEME LEO, Umekuwa MTU Mwenye roho mbaya na matukio ya ajabu kwenye chama na mnje ya chama mnyanyasaji na Mwenye kujua kila kitu, Leo wewe ni kiongozi haimanishi upo Sekta gani lakini ulitakiwa kulinda heshima yako Uliyoaminiwa na HAYATI JOHN POMB0 MAGUFURI, ULitawakiwa kulinda heshima hiyo lakini kila kukicha Umekuwa kituko kwa jamii na kutufanya kuamini kweli hapa hatukuwahi kuwa na Mwenezi ndani ya chama, Ngoja nikukumbushe Tu broo Uliwahi nitamkia Hadharani uwanja wa Taifa mkiwa mnaandaa Tamasha la kutambulisha nyimbo za KAMPENI nikakufata kukwambia kuna Group la MGOMBEA MWENZA YANI MH SAMIA SULUHU HASSAN, LINAITWA MAMA ONGEA NA MWANAO, majibu uliyonipa yalinifanya nijue kabisa hapa Hatuitajiki na wala umtambui mgombea Mwenza, Nanukuu STEVEN ILO GROUP LAKO UNAJISUMBUA TU MAMA HAPIGIWI KURA WALA HANA BAJETI YA WASANII HANA NA HATUKUWEKA MAANA HATUONI KAMA KUNA UMUHIMU KAMA UNAWEZA KABADILI JINA LA MAMA ONGEA NA MWANAO, LIWE JINA LINGINE AMBALO LITAMWOMBEA KURA MH MAGUFURI, KABADILI UKIPATA JINA NITAFUTE, NA MNAWEZA KULIPA JINA LINGINE, Nikatoka nikiwa mnyonge sana sikutaka kuamini hiki ninacho jibiwa na kiongozi wangu tena mwenezi wa chama kweli mama hana bajeti nilishangaa sana, na akafika mbali badilisha jina achana na mama, na bahati nzuri wakati anasema maneno hayo sikuwa peke yangu pembeni nilikuwa na MH BABU TALE, tulijikuta tunasema kazi tunayo,Sikukata tamaa nikasema niendelee kuwa mjinga kwako tukawa tumeandaa Tamasha kubwa la MAMA ONGEA NA MWANAO Ukasema ulitambui na huoni umuhimu na umesha toa maagizo na mapendekezo yako kuwa mama hana bajeti, Na wala haina haja ya kutumia nguvu uko kwa mama maana yeye hapigiwi kura, nikasema sawa mkuu, Ikabidi niwaite wenzangu kuwambia jamani hapa tunaambiwa kubadili jina la mama ongea na mwanao na kuulita baba kasema, mnaonaje ila mimi binafsi sidhani kama sawa nimeona niwashirikishe, hakuna aliye kubali wote walikataa wakasema hapana basi tukajikuta tunapitia wakati mgumu sana kudili na MGOMBEA MWENZA, NA KUNA MUDA ULIWAHI KUNIPIGIA NA KUSEMA NAKUONA GROUP LINAZUNGUKA NA MAMA HELA UMEPATA WAPI NA MIMI NILIKWAMBIA UYO HANA BAJETI, UKANIKALIPIA SANA SANA NA VITISHO JUU

 Haikuishia hapo, Nilipambana kwa Rafiki zangu nikapata basi 2 na FEDHA ya kupeleka wasanii Dodoma wakati nakupigia ukanijibu, STEVEN NIMESHA KWAMBIA HILO GROUP LA MGOMBEA MWENZA YANI SAMIA SULUHU HASSAN HALINA BAJETI HATA YEYE HANA BAJETI UNAANGAIKA BULE, Nikakujibu sawa mkuu lakini lazima wawepo Dodoma mimi najua hela ntapata wapi ila lazima wawepo ukanikatia simu, Nilipambana MPAKA nikafanikiwa kuwa na kila kitu yani FEDHA, NA MARADHI YA WASANII, LIKAJA swala la kutambulisha vikundi pale Juu nakumbuka ulifatwa na kuambiwa kuna kundi la MGOMBEA MWENZA LINAITWA MAMA ONGEA NA MWANAO, UKAMJIBU MTU YULE ULITAMBUI, Nikacheka sana bahati nzuri wapo viongozi ambao tunaheshimiana kwa kiasi kikubwa na wanajua na waelewa wakaniambia STEVE TULIA GROUP LITAPANDA HAPO NA MNTAFANYA KILE MLICHO PANGA, wakati amepewa maelekezo ya group kwa aibu akaja kusema nimeamua kuwapa dakika 2 pale ndipo Msanii wangu HAMISA MOBETO, alipomnyakula Maiki na kumwambia unazingua sana akabaki anashangaaa kwahiyo niseme na mengi sana kwenye hili ila muhimu mwenezi mstafu muheshimu Mwenyekiti wa chama chako, HESHIMU KITI CHA URAIS, HESHIMU HESHIMU HESHIMU MAANA NAKUSHANGAA UNAVO TUMIA NGUVU NYINGI KUMPINGA MH RAIS UPANDE WA CHANJO UNASAHAU SIO LADHIMA KUCHANJA NI HIYARI, LAKINI USIWE CHOCHEZI KWA WENGINE, KAMA HUCHANJI WEWE NI WEWE, SO HAKUNA ASIYEJUA KUWA WEWE UMKUBALI MWENYEKITI NA HUTAKI KUAMINI NDIO RAIS WAKO BASI UNGENYAMAZA KIMYA KWA KIFUPI UNGECHUTAMA, NA KAMA UNATUMIKA USISAHAU UNAPOTEZWA UTAKUJA JIKUTA UNABAKI PEKE YAKO SIKU YA MWISHO, NA KIKUBWA UYU UNAYE MPINGA LEO NDIE ALIYE SEMA YAZAMANI SI NDWELE TUGANGE YAJAO, AKIAMUA KUFUNGUA KITABU CHAKO NAHAKIKA HATA LILE SWALA LA KUCHUKUA HELA KWA WAGOMBEA, NA WENGINE KUTONGOZWA KWA KUWAMBIA WATAPATA VITI MAALUMU KUNA MENGI BROOO UNGENYAMAZA TU....  




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz