Afisa Habari wa Simba Athibitisha Kuuzwa Kwa Chama - EDUSPORTSTZ

Latest

Afisa Habari wa Simba Athibitisha Kuuzwa Kwa Chama


Kaimu Afisa Habari wa Simba Sports Club Ezekiel Kamwaga Athibitisha Kuuzwa Kwa Chama.

NI kweli kwamba nyota wetu mahiri, Clatous Chama amejiunga na timu ya RS Berkane ya Morocco na sisi kama uongozi tumeridhia kwa kuzingatia maslahi mapana ya mchezaji pamoja na klabu yetu ya Simba.

Na pia Fedha tulizopata kwa kumuuza Chama ni kubwa mno na tutazitumia kuboresha kikosi chetu.
#NguvuMoja




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz