Waziri Mkuu wa Jmhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa naye amepata chanjo ya Covid-19, Ikulu Jijini Dar Es Salaam Leo Julai 28, 2021
"Nipo tayari kuchanjwa leo ili kumuunga mkono Rais Samia na kuwaonesha Watanzania kuwa chanjo za Covid 19 zinazotolewa ni salama".
No comments:
Post a Comment