Mwigulu "Wafanyabiashara Msikimbie Nchi Kero zenu Tunazifanyia kazi" - EDUSPORTSTZ

Latest

Mwigulu "Wafanyabiashara Msikimbie Nchi Kero zenu Tunazifanyia kazi"



Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Wafanyabiashara waliokimbilia Nakonde nchini Zambia warejee nchini malalamiko yao yatafanyiwa kazi

Kwa maelezo ya Wafanyabiashara ni kuwa wamehamia Zambia kwa kuwa kuna unafuu wa kodi kuliko Tunduma nchini Tanzania

Dkt. Nchemba ameitoa kauli hiyo wakati akizungumza na wakazi wa Tunduma wakiwemo Wafanyabiashara






Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz