Mtoto wa Masoud Kipanya Apumzishwa Katika Nyumba yake ya Milele - EDUSPORTSTZ

Latest

Mtoto wa Masoud Kipanya Apumzishwa Katika Nyumba yake ya Milele



Kutoka Makaburi ya Kisuti DSM shughuli ya maziko wa mwili wa mtoto wa Masoud Kipanya, Malcom Kipanya makaburi ya Kisutu Dar es salaam.

Katika mazishi haya yamehudhuriwa na watu mbali mbali wakiwemo CEO wa GSM Ghalib Said Mohamed, Mwigizaji Steve Nyerere, Msanii Ommy Dimpoz, Mtangazaji Millard Ayo, Wafanyakazi wa Clouds Media na wengine. #RIP MALCOM




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz