Mauaji ya Kutisha Dar.. Kijana Amchapa Mwenzake Risasi Tatu Wakiwa Bar Kisha na Yeye Kujipiga Risasi ya Kichwa - EDUSPORTSTZ

Latest

Mauaji ya Kutisha Dar.. Kijana Amchapa Mwenzake Risasi Tatu Wakiwa Bar Kisha na Yeye Kujipiga Risasi ya Kichwa







Huyu kaka anaitwa Alex alikuwa mtu freshi Sana Ila  ndio amefanya mauaji leo sinza kwa remmy -bar inaitwa Lemax

Walikuwa wakinywa pombe kwa pamoja Lemax Bar Sinza Makaburini wakaanza kubishana .

Kijana amemwambia usituonyeshe  silaa bwana

Jamaa  akajibu kwani yako.... kumbe jamaa amemaind na jana yake alikuwepo tena na  wakamchamba wakamwambia tumekushitki polisi unatutishia na pastola yako 
Si ndio jamaa akapaniki .....

Na anaonekana Ni mgeni na Silaha  akafanya kweli  akampiga  mwenzake risasi 3 na yeye nakajipiga risasi  wakafa wote 🤦



Wengi wetu tumeona video na picha zilizosambaa za tukio la Mtu kupigwa risasi akiwa Baa Sinza kwa Remi Dar es salaam usiku wa July 17 2021.

Kwa mujibu wa shuhuda ambae pia ni Rafiki, Kijana aliyepigwa risasi na kufariki anaitwa Gift na alikua amekaa jirani na Alex na alisimama kumtuliza Alex baada ya kuona ameanza kutishia Watu kwa bastola yake, amesema Shuhuda huyu.

“Gift ni Kijana mwenzangu tukifanya kazi Ofisi moja, alikua ana muomba Alex asipige risasi kama vile na kupoteza amani, yani kitendo cha Gift kumsemesha yule Jamaa imekua kama kosa aligeuka akammiminia Gift risasi nyingi kama mbuzi, Gift kuona vile akakimbia lakini akaishiwa nguvu hatua chache tu”

“Tulishindwa kutoa msaada kwa Gift kwasababu Jamaa mwenye Bastola (Alex) alikua kama amevurugwa Shetani kama amemuingia anageuka anaangalia nani mwingine ampige risasi…………..”




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz