Mama Dangote "Mimi Sina Tabia ya Kuhonga Wanaume" - EDUSPORTSTZ

Latest

Mama Dangote "Mimi Sina Tabia ya Kuhonga Wanaume"



Mama Dongote amemjibu mmoja kati ya mtu alie comment na kusema kua ni ngumu sana wao kuachana kutokana na kwamba mama Dongote ni muhongaji, amekanusha shauri hilo na kusema kua yeye hua hana tabia ya Kuhonga mwanaume.






Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz