KIMENUKA..Manara Achafua Hali Ya Hewa Kwenye Mitandao, Voice NOTE Yavuja Manara Akimsema Babra Anamchukia - EDUSPORTSTZ

Latest

KIMENUKA..Manara Achafua Hali Ya Hewa Kwenye Mitandao, Voice NOTE Yavuja Manara Akimsema Babra Anamchukia

 


MSEMAJI wa Simba, Haji Manara Julai 21, 2021 amechafua hali ya hewa baada ya kuvuja sauti yake akimfokea bosi wake, Barbara Jaime Gonzalez kuwa amekuwa akimfatafata na kumtumhumu kuwa anaihujumu timu.

Kwenye sauti hiyo, Manara amesema anasubiri mechi yao na Yanga inayotarajiwa kupigwa Julai 25 mwaka huu ipite kisha ataongea zaidi.

Simba wanakutana na Yanga Jumapili hii katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma katika fainali ya FA

SIKILIZA HAPA:





Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz