Jaji Warioba Afunguka "Huwezi Kusema Katiba Sio Kipaumbele Huku Unabadilisha Sheria Nyingi Katika Kila Bunge" - EDUSPORTSTZ

Latest

Jaji Warioba Afunguka "Huwezi Kusema Katiba Sio Kipaumbele Huku Unabadilisha Sheria Nyingi Katika Kila Bunge"



Jaji Warioba akiwa katika Kipindi cha Dakika 45 ITV amesema suala la kubadili Sheria nyingi katika kila Bunge zinaonesha umuhimu wa #KatibaMpya

Hata hivyo amesema ni muhimu kuwa waangalifu kwa kuwa Katiba Mpya haitaweza kutatua matatizo yote

Ametolea mfano kuwa tunaweza kuwa na Tume nzuri ya Uchaguzi lakini bila kuwa na #Demokrasia katika vyama changamoto hazitakuwa zimetatuliwa




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz