Breaking: Kesi Ya Sabaya Yaahirishwa Arusha - EDUSPORTSTZ

Latest

Breaking: Kesi Ya Sabaya Yaahirishwa Arusha




KESI no 27/2021 inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya (34) na walinzi wake watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha wakikabiliwa na makosa mbalimbali likiwemo la uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na kupokea rushwa

 

Kesi hiyo Leo Juni 18, 2021 imetajwa na kuahirishwa baada ya ofisi ya mwendesha mashitaka kuomba kuahirishwa kesi hiyo kutokana na ushahidi kutokamilika.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Julai 2, 2021





Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz