Boko la Mwaka: Unakumbuka Story ya Mwanamke wa South aliyedaiwa Kuzaa Watoto 10? Familia Yakanusha


Boko la Mwaka: Unakumbuka story ya mwanamke wa South aliyedaiwa kuzaa watoto 10? Basi Unaambiwa kumbe ni uongo, hatimaye Familia ya mwanaume yakanusha na kusema hawajawahi kuona hao watoto 10
VIDEO:



0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post