Mambo ya kufanya ili usipatwe na chunusi - EDUSPORTSTZ

Latest

Mambo ya kufanya ili usipatwe na chunusi


Pata GB 10 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 
Chunusi ni ugonjwa wa ngozi ambao hujit-okeza kama viuvimbe/vipele vidogo vidogo hasa sehemu za uso,kifuani na hata mgongoni.Vipele hivi hutokea wakati vishimo vya kupitisha jasho katika ngozi vinapozibwa kwa mafuta au seli za ngozi zilizokufa au wadudu yaani Bacteria.
Yatuatayo ndiyo mamabo ya kufanya ili usipate chunusi;
1. Osha taratibu sehemu unayodhani ina chunusi kwa maji safi na sabuni angalau mara mbili kila siku huku ukisugua taratibu, usikwaruze kwa kucha au kitu choichote kigumu.

2. Tumia make-up au vilainisha ngozi visivyo na mafuta mgando

3. Osha nywele zako kila mara na epuka nywele kuziba uso (kwa wenye nywele ndefu).

4. Kula mlo kamili na epuka vyakula vyenye mafuta mengi.

5. Usibinye au kutoboa vipele kwa pini au kitu chenye ncha kali.

6. Epuka kukaa sana juani,mwanga wa asubuhi ni mzuri ili kupata vitamin D

7. Punguza mawazo


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz