JINSI YA KUISHI NA MWANAUME/MKE MWENYE GUBU. - EDUSPORTSTZ

Latest

JINSI YA KUISHI NA MWANAUME/MKE MWENYE GUBU.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA


 JINSI YA KUISHI NA MWANAUME AU MKE MWENYE GUBU sio rahisi lakina inawezekana,

  • Kwanza kabisa unatakiwa uwe msikivu, hili tatizo linaanza pale mwanaume/mke akiwa na malalamiko lakini mwenzako hawi msikivu. Hii itapelekea mwenzako kuona kuwa huna time naye na hujali vitu anavyokwambia, na hivyo huyo mtu ataanza kulalamika na kufiria sababu zingine kabisa za kwanini humsikilizi kama vile kuwa na mpenzi mwingine nje ya mahusiano yenu.
  • Jaribu kuwa muelewa, kama mambo yameshakuwa mabaya kati yenu jaribu kuwa muelewa, acha kujibu malalamiko ya mwenzako kwa kufoka au kwa vurugu. Jaribu kufikiria ni kitu gani kinachomfanya mwenzako awe hivo na kuongea nae.
JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA

  • Kwa wanawake mpunguze dharau, hasira na malalamiko yasiyo na mbele wala nyuma kwa waume zenu, na msizue matatizo yalipita. Focus katika tatizo lililopo ili muweze kulisolve.
Pata GB 10 Mtinadao yote BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

  • Kwa wanaume, mnatakiwa kuwasikiliza wake zenu, sikiliza malalamiko waliyokuwa nayo, myaongelee na kuyasolve matatizo.

Wanandoa wakishindwa kutatua matatizo kama haya, chuki inakua kati yao na ndoa inazidi kuwa chungu, na matumaini ya kusolve matatizo kati yao yanakuwa hamna tena, na hii inaweza kuwa mwisho wa mahusiano yao.

Wewe je, unaishi na mwanaume au mwanamke mwenye gubu? Unawezaje kuishi nae, au unafanya nini ili kuweza kumhandle na kuepuka matatizo kati yenu?

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz