Wanawake Wanataka Ndoa Lakini Hawapati, Ni Kweli Hamna Waoaji? - EDUSPORTSTZ

Latest

Wanawake Wanataka Ndoa Lakini Hawapati, Ni Kweli Hamna Waoaji?


 Kuna kitu kinanichanganya ni kweli hamna waoaji siku hizi au wanawake wanachagua sana?


Sasa hivi hili limekuwa kama janga la Taifa.
Single ladies wengi sana unakuta mwanamke mpaka miaka 33 hana hata mchumba wa kusingizia.

Na ni wengi mitaani tunawaona na wengi wao wakiona umri unazidi basi wanaamua kuzaa na kuwa single mums.

Nyie mnaonaje ni tabia hazikidhi mwanamke kuolewa?

Au ni gharama za harusi?

Wanaume please please muoe watoto wasio na baba wanazidi kuongezeka.

Na hamuwatendei haki wanawake.


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz