Faida 10 za Kiafya za Kula Tikiti maji - EDUSPORTSTZ

Latest

Faida 10 za Kiafya za Kula Tikiti maji


 Tikiti maji ni moja kati ya matunda muhimu sana katika afya yetu


Pata GB 10 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


Tunda hili ni moja ya chanzo cha protini, fati ,Nyuzinyuzi ( fiber ) , Calcium, Phosphorus, Iron, Vitamin A, B6, C. Potasium, Magnesium, Carotene, n.k

Zifuatazo ni faida 10 za kula matikiti maji katika afya yako :


Faida 10 za tikitimaji
1.Hupunguza magonjwa ya moyo

2. Huondoa sumu katika mwili

3. Huzalisha nishati katika mwili

4. Huzuia kansa

5. Husafisha figo

6.Husaidia kupunguza shinikizo la damu

7. Asilimia 92 la tunda hili ni maji

8. Husaidia kupunguza uzito

9. Husaidia kudumisha afya ya macho

10. Husaidia kuponesha vidonda.


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz