*MAMBO 10 YA KUMFANYIA MKEO KILA SIKU* ...... - EDUSPORTSTZ

Latest

*MAMBO 10 YA KUMFANYIA MKEO KILA SIKU* ......

 _

Kuolewa sio bahati, USIBAHATISHE | Soma Udaku

Kuna mambo madogo madogo ambayo unatakiwa kumfanyia mkeo kila siku ili kuufanya uhusiano wenu uendelee kuwa hai._ ...... _Yanaweza kuwa madogo lakini yanaleta tofauti kubwa sana. Ifuatayo ni orodha ya mambo 10 unayoweza kumfanyia kila siku:_ 💖💖💖💖💖💖💖💖💖 *

1. Wapende watoto wake:* ...... _Kama mna watoto, hakuna kitakachomfurahisha sana kama kukuona kama baba mwenye upendo._ 💞💞💞💞💞💞💞💞💞 

*2. Mbu-su:* ...... _Kila unapotoka na kuingia nyumbani, m-busu. Hakika bus-u linatuma ujumbe maridhawa kwenye moyo wake._ 💖💖💖💖💖💖💖💖💖 *

3. Mkumbatie:* ...... _Kumbatio huwaweka karibu na humfanya ajihisi amani na kuwa na hisia ya kupendwa. Inapendekezwa kuwa umguse mkeo angalau mara 31 kwa siku._ 💞💞💞💞💞💞💞💞💞 

*4. Mpe sifa ya kipekee:* ...... _Kuna vitu vingi vya kuvutia kuhusu mkeo. Kila siku tafuta kitu kipya na umwambie kuhusu kitu hicho. Mpambe na umsifu._ 💖💖💖💖💖💖💖💖💖 

*5. Mchokoze:* ...... _Wakati fulani mkeo anahitaji kukumbushwa kuwa anatakiwa kuwa laini na asiyekuwa na ugumu; anahitaji kutaniwa, kuchokozwa na kuchekeshwa._ 💞💞💞💞💞💞💞💞💞 

*6. Mfanye ajisikie kuwa yu salama:* ...... _Fungeni milango na umbebe, hasa kama nje kuna watu au kuna kelele zinazowanyima utulivu._ 💖💖💖💖💖💖💖💖💖 \

*7. Zima simu yako:* ...... _Tenga muda angalau kidogo wakati wa usiku na ukae na mkeo badala ya simu yako._ 💞💞💞💞💞💞💞💞💞 

*8. Muombee dua:* ...... _Kila siku katika sala na maombi yako, usimsahau mkeo… muombee kwa Allaah ._ 💖💖💖💖💖💖💖💖💖 

*9. Mchekeshe:* ...... _Kama unaweza kumchekesha kila siku, mtaweza kukabiliana na chochote._ 💞💞💞💞💞💞💞💞💞 

10. Mwambie* *“Ninakupenda”:* ...... _Kila siku litamke neno hilo, hatochoka kulisikia na kulisikiliza._ 💞💖💞💖💞💖💞💖💞💖💞💖💞💖💞💖💞💖 💞 *MAFUNZO YA NDOA* 💞💖💞💖💞💖💞💖💞💖💞💞💖💞💖💞💖💖💞




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz