JIFUNZE JINSI YA KUMTAMBUA MUME AU MKE MWENYE MAPENZI YA DHATI NA WEWE - EDUSPORTSTZ

Latest

JIFUNZE JINSI YA KUMTAMBUA MUME AU MKE MWENYE MAPENZI YA DHATI NA WEWE


Diamond Platnumz spotted cozying up to light-skinned video vixen ........🌸🌺* πŸŒΈπŸ”ΉπŸŒΊπŸ”ΈπŸŒΈπŸŒΊπŸ”Ή. _Unajua unaweza kuwa na mahusiano na mtu unayempenda sana ila yeye hakupendi kama vile umpendavyo lakini anashindwa kukwambia kuwa"sikupendi"._ 🌺🌸 _Unawakati mzuri sana wa kumtambua mtu ambaye hakupendi na pia kumtambua anayekupenda. Vilevile kukubaliana na hali halisi.Watu wengi hawapendi kutambua kwamba mtu anayempenda yeye hampendi, kwasababu ni maumivu makubwa sana moyoni._ 🌺🌸 _Unapokuwa kwenye mahusiano na mtu huyo nae inamuwia vigumu kukwambia *"sikupendi"* hufanya hivi katika kuzihurumia hisia zako juu yake._ πŸ”Ή✨✨πŸ”Ή✨✨πŸ”Ή✨✨ *πŸ’”......JINSI YA KUMJUA MPENZ AMBAYE HAKUPENDI KWA DHATI:......πŸ’”* *==>*_Anapokuwa nawe inamuwia vigumu sana kukwambia neno *NAKUPENDA* mara kwa mara, utajikuta wewe ndio unakuwa mtumwa kwake kwa kumwambia nakupenda kila mara.Majibu yake baada ya neno hilo, mara nyingi atakwambia asante kwa kunipenda basi, na akikuhurumia sana atakwambia nakupenda pia ili kukuridhisha wewe na moyo wako._ 🌸🌺 *==>* _Utajikuta una mawazo sana juu yake na kujiuliza "hivi kweli mtu huyu ananipenda?"Utajaribu kumuuliza, "je unanipenda?"Jibu lake kwanza litafikiriwa sana, sababu ya kufanya hivyo ni kwa vile anatambua kwamba hakupendi sasa kukwambia ukweli wa swali lako anahisi utaumia, kwahiyo baada ya swali hilo anaweza kukuuliza swali na wewe "kwani unaonaje?" kwavile unampenda sana utamjibu,"naona kuwa unanipenda" naye atakwambia "basi ndio hivyo"._ 🌸🌺 _Mara nyingine baada ya wewe kumuuliza swali kuwa je anakupenda kweli, atakujibu "ukweli unaujua ila kwanini unapenda kuniuliza swali hilo kila mara?" kama umeshaingiza dosari juu ya upendo wake utajikuta unamuuliza "ukweli upi?" naye atakujibu "kuwa nakupenda", hapo utajikuta umepata furaha kugundua kuwa anakupenda kumbe mwenzio amekuhurumia tu._

 πŸŒΈπŸ”ΈπŸ”ΉπŸŒΊπŸŒΈπŸ”ΈπŸ”ΉπŸŒΊπŸŒΊπŸ”ΉπŸ”ΈπŸŒΈπŸŒΊ *==>* _Huwa hajali mambo yako unayomwambia, ukimueleza muda huu badae anajifanya kusahau ili tu akupotezee mueleleo._ *==>* _Unapopanga kukutana nae huwa ni mtu asiyeishiwa na sababu za kushindwa kufika, huwa na aibu ya kukutambulisha kwa watu.Unaweza kufika nae mahali akakwambia kuwa"kuna watu wanafahamiana na mama/baba mahali hapa kwahiyo tusiongozane karibu", hapo anaweza yeye akatangulia mbele au kukuacha wewe utangulie._ 🌸🌺 *==>* _Hufanya tabasamu la kuigiza au kicheko cha kejeli ili wewe uridhike kwamba anafurahishwa na uwepo wako kwake._ *===>*_Wakati mwingine inampasa mtu kujitambua na kumpa uhuru huyo umpendaye aweze kuamua mwenyewe labda kuendelea na wewe au kumfata anayempenda yeye._ 🌸🌺 _Cha muhimu ni kuwa using'ang'anie mahusiano ambayo yanayoumiza moyo kwani yanaweza pasua moyo wako kwa mawazo._ πŸ”Ή✨✨πŸ”Ή✨✨πŸ”Ή✨✨ *❤.....JINSI YAKUMJUA MTU AMBAE ANAYEKUPENDA KWA DHATI:.......❤* *@alhy@* *❤==>* _Hachoki kukwambia *NAKUPENDA*, kwani anajisikia raha sana pale atamkapo neno hilo juu yako kwahiyo unaweza ukawa kama wimbo wake kwako._ 🌸🌺 *❤==>* _Anajivunia kuwa na wewe na atapenda kukupa sifa nzuri kila mara, yani Hachoki kukusifia. Atakushauri pale unapokosea ili uwe katika njia nzuri.Unaponuna atajua cha kufanya ili wewe ufurahi na kurudi kwenye hali ya kawaida._ *❤==>* _Hachoki kukuombea mema na kukutakia mafanikio._ *❤==>* _Atapenda kukueleza ukweli kila mara ili uweze kujenga uaminifu na imani juu yake._ 🌸🌺 *❤==>* _Wewe utakuwa ni mtu muhimu sana katika maisha yake, atakuthamini na kukujali. Tatizo lako litakuwa sawa na tatizo lake, atakupa ushauri bila kuchoka._ *❤==>* _Kabla ya kumuuliza swali kuwa "je unanipenda?" atakuwa ameshakujibu tena kwa hisianzito kuwa "nakupenda sana mpenzi wangu"._ *❤==>* _Hatokuonea aibu kukutambulisha kwa watu kuwa wewe ndiye mpenzi wake, kwakuwa wewe ndiye furaha yake._ πŸŒΈπŸ”ΈπŸ”ΉπŸŒΈπŸŒΊπŸ”ΉπŸ”ΈπŸŒΊπŸŒΊπŸ”ΉπŸ”ΈπŸŒΈπŸŒΊ *Bhoke Mgituti




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz