HAYA NDIYO MAMBO AMBAYO HUMPA MWANAMKE RAHA KITANDANI. - EDUSPORTSTZ

Latest

HAYA NDIYO MAMBO AMBAYO HUMPA MWANAMKE RAHA KITANDANI.





1.MATUMIZI YA MDOMO:Wanawake wengi wanapenda sn kusisimuliwa kwa kutumia mdomo. Humpenda mwanaume anayeweza kuutumia mdomo wake kwa umahiri katika maungo yke mbalimbali. 


2.LUGHA YA MSHAWASHA:Wanawake wanapenda mwaname anayewasisimua kwa maneno yake. Mkiwa kitandani wanapenda kusikia jinsi wanavyokuchengua, wanapenda kusikia jinsi miili yao ilivyo matata, wanataka kusikia unachotaka kukifanya kwa kutumia dhakari yko… wanataka waone unaondoa hofu na woga, useme hata zile lugha chafu… kwao sio lugha chafu, kwao ni lugha zinazowapa mhemko wa khatari.

 3.UNYEGESHAJI ZAIDI:Wanawake wanapenda mwanaume anayejituma kuwapa uzoefu bora wa kuwanyegesha. Wanapenda mtu anayetumia muda wake kuwasisimua kwa kuwabusu, kuwapapasa, kuwanyonya, kuwapa tifutifu kwenye maungo yao. 

4.UBUNIFU:Kwa kawaida, wanawake wanataka mwanaume aliye tayari kujaribu. Wanataka mwanaume ambaye haogopi kujaribu mikao mipya na kuonesha mambo mapya. Mwanamke anataka mtu mbunifu ambaye ana umahiri na uwezo wa kumshangaza.

 5.KUSHIKA HATAMU:Miongoni mwa mambo ambayo humpa mwanamke uwezo wa kuwa juu ktk tendo ni kuwa muanzilishi wa tendo. Jambo hilo humpa uwezo wa kuwa juu na kushika hatamu. Hata hivyo, baadhi ya wanawake wanapenda mwanaume anayewapa fursa ya kushika hatamu wakati wa tendo, jambo linaloweza kuwapa nguvu ya kuwapa utamu. 

6.MAMBO YA PAPO KWA PAPO:Ni kweli kuwa wanawake wanapenda sana unyegeshaji na kumchezea vizuri. Lakini baadhi yao hupenda mwanaume anayemnyakua, akamchukua bila kutarajia, akaonesha shauku yake kwa kumchukua na kumpa raha. tuishie hap kwa leo nakutakia utekelezaji mwema km yatakufaa.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz