HAKUFIKISHI KILELENI LAKINI ANAKUA MALAYA WANAWAKE WENGI - EDUSPORTSTZ

Latest

HAKUFIKISHI KILELENI LAKINI ANAKUA MALAYA WANAWAKE WENGI


Wanaume wengi ni Malaya lakini kama mwanaume wako hakufikishi, wewe mwenyewe mapenzi ni mara moja kwa mwezi, hata ukipita uchi mbele yake hata hashituki hawezi kukuvamia na kukupa cha mchana lakini unaona ana wanawake wengi, si wanawake wengi tu lakini ni kama anafanya juhudu kuhakikisha kuwa unajua kuwa ana wanawake wengi, yaani anapiga nao picha za uchi, anachat nao mbele yako, anaweza kuongea na mwanamke upo tu ili tu uongee.
Anawasifia wanawake wengine na hata majirani, anaweza kumtumia pesa mwanamke mwingine wakati wewe kakunyima na akituma anahakikisha kuwa unajua. Hapo dada yangu jua kuwa huyo mwanaume ana matatizo, anafanya hivyo kwakua anajua kuwa hakuridhishi hivyo kama ukimuona na wanawake wengi wewe utawaza. “Inawezekana huko kwingine anawafikisha laba mimi ndiyo mwenye matatizo!” wanaume wengi wenye matatizo ya nguvu za kiume na hata wenye vibamia wanakua hawajiamini.
Kwakua hawajiamini wanahisi kila mtu anayewaona, marafiki zao, wazazi na kila mtu anawaona kuwa wana matatizo ya nguvu za kiume au vibamia. Kwa maana hiyo basi suluhu kwao ni kuonyesha watu kuwa wao ni Malaya, marafiki zao wawaone kama Malaya wawaone kama ni watu wa wanawake wengi ili hata kama ukilalamika, ukimtangaza watu waseme “Mbona ana wanawake wengi kiasi hiki huyu hana tatizo!”
Hata wewe atakutia shaka utawaza hawa wanawake wasingeweza kumng’ng’ania wanakupigia simu wanakutukana kama aisingekua anawakuna vizuri mimi ndiyo mwenye tatizo. Lakini ukweli nikuwa huna tatizo mwanaume wa namna hiyo atakua anahonga sana na unajua wanawake na pesa watafanya chochote. Wanakutukana na kukupigia simu huku wakimng’ng’ania kwakua wanajua anawahudumia. Lakini wengine ni ule ulimbukeni tu, kama ambavyo wewe ulimkubali mwanzo ukidhani atabadilika.
Kama ambavyo inawezekana wewe ulidhani mkioana nguvu zitarudi nao wanadhani kua wanaweza kukupindua na wakaolewa kisha nguvu za huyo mwanaume zikarudi wakafurahia wao. Wengine wanahangaika tu wakiamini kuwa mwanaume ni mwanaume na hata kama hana nguvu basi wanaweza kuvumiliana na wakawa na furaha kitu ambacho si kweli. Kwa maana hiyo kama wewe hakuridhishi na kila siku nikubadilisha wanawake wala huna haja ya kuwa na presha kwani hakuna anachofanya huko nnje cha zaida ya kile anachokufanyia wewe.
NB; Kama una mwanaume wa namna hii, kama unataka kujua namna ya kuishi na mwanaume wa namna hii au kumsadia tatizo lake basi hakikisha unasoma Kitabu cha “MWANAUME; Namna ya kukabiliana na tatizo la nguvu za kiume na maumbile madogo” ni Kitabu cha watu wazima tu na bei yake ni Shilingi elfu kumi tu (10,000/-) Kukipata unalipia kwa M-Pesa no. 0742-381-155 au Tigo Pesa No. 0657-552-222 baada ya hapo Kitabu unatumiwa kwa njia ya Whatsapp, Email au Facebook.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz