๐Ÿ‘ต๐Ÿ‘ฏ๐Ÿ‘ฑDear girls, ivi wale waschana mnaowapaga penzi wapenzi wenu kabla ya ndoa mna akili gan❓ - EDUSPORTSTZ

Latest

๐Ÿ‘ต๐Ÿ‘ฏ๐Ÿ‘ฑDear girls, ivi wale waschana mnaowapaga penzi wapenzi wenu kabla ya ndoa mna akili gan❓

๐Ÿ‘ธ๐Ÿ‘ฐ๐Ÿ‘ต๐Ÿ‘ฏ๐Ÿ‘ฑDear girls, ivi wale waschana mnaowapaga penzi wapenzi wenu kabla ya ndoa mna akili gan hivi kama mmeshafanya mapenzi zaidi ya mara tatu una kipi kingine cha kumshawishi akuoe ๐Ÿ˜ kama tendo lote analipata kabla ya ndoa tena wajinga wengine mnanyonya adi pipi zao sa anaingia kwenye ndoa na wewe ili apate kipi kipya, una kipya cha kumpa๐Ÿ˜
๐ŸŒŠ๐ŸŒš๐Ÿ“šKisaikolojia binadamu tuna tabia ya kuvizoea vitu tunavyotumia mara kwa mara na tukishavizoea vinashuka thamani, vikishashuka thamani vinakera vikishakera vinatia hasira๐Ÿ˜‚
Kama ushasex na mtu wako zaidi ya mara 5 una aslimia 5 tu za kuolewa.
๐Ÿ‘ณ๐Ÿ‘ฎ๐Ÿ‘ฒMe ni mwanaume pamoja na akili nyingi na hekima nyingi alizonipa Mungu but nishawahi kupenda na kulia juu๐Ÿ˜‚, Sisi tukipenda hua tunatamani kumwona mda ote yule tumpendae, ile tu kumwona kuongea nae kuzurura nae kukaa nae ni furaha atari ile akikukiss sasa we furaha yake ni zaidi ya kununua gari ni kweli hua tunatamani kusex ila ukitunyima sio kwamba tutapunguza upendo NO, ila ukitupa tu tunapata wasiwasi na ww na imani inapungua, tena ukitupa mara kwa mara duh tunaanza kukudharau, wangapi mliposex tu mara kazaa heshima ilipungua, mkaachwa, jamaa ako akipata hamu ndo anakutafta unakua kipozeo yani, wangapi mliposex mara kazaa jamaa ako akaanza kutongoza dada zako marafiki zako tena ata haogopi yani
๐Ÿ˜”๐Ÿ˜–๐Ÿ™‡Hakuna kitu kinatuuma kama kuachana na msichana halafu ata hujasex nae aisee #inaumaga_hiyo , Kama anakupenda kwa dhati hawezi kukuacha kisa umemnyima sex ila anaweza kukwacha tena kwa dharau kisa umempa sex mara nyingi nyingi, biblia iko wazi MWANAMKE MJINGA HUVUNJA NDOA YAKE KWA MIKONO YAKE MWENYEWE, wengi mmevunja ndoa zenu kabla ata hamjaingia kwenye ndoa zenyewe๐Ÿ˜dah




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz