WANAUME TUACHE HAYA WAKATI WA KUFANYA MAPENZI. - EDUSPORTSTZ

Latest

WANAUME TUACHE HAYA WAKATI WA KUFANYA MAPENZI.


Ni ngumu sana au tuseme ni mara chache sana mtu kujiamini kuwa anamfanya vizuri mwenzake, hii ni kwa sababu hata usipofanya vizuri huambiwi hapo bali story zitaenda kusikika salon, sasa acha kidogo niongee na wanaume wenzangu, kwani sisi ndio wengi hatujiamini ka kile tunachokifanya kwa wadada, kuna vimaswali ambavyo wadada hawatakagi kuvisikia kabisa japo ukiwaulia hukujibu simplem, hapa naanza kuzungumzia tangu unaingia chumbani hadi mnatoka, nitazungumzia makosa yote,Twende pamoja.
1) Vipi mbona umechelewa hivyo, hili swali huwa sio mahali pake tena, jni kweli mlipanga muoanne asubuhi lakini nakaja saa kumi tena baada ya kumtumia nauli mara ya pili na tatu, sasa hapo ameshafika achana na maswali yam bona umechelewa unawza kumuondoa kwenye mood,wewe ashafika mparamie mkaibish kama vile hajala nauli mara mbili..
2) Vipi kwani hadi tukaoge ?, hili swali kwa kweli wanawake wengi hawalipendi kwa sababu kikawaida sio vizuri kufanya mapenzi klabla hamjaoga pamoja, na pia huyo sio wale wanawake wanaojipanga barabaranui kujiuza ndio useme utaparamia tu bila kuoga naye, kama kuna uwezekano usimuulize maswali hayo, wewe akija mchukue nendeni bafuni, ogeni mrudi kitadani au popote mnapotaka kufanyia pambano
3)Kumuuliza mwanamke kwani utaondoka sangapi ?, hili swali ni la kijinga sana na hakuna mwanamke atakayekujibu kua nitaka na wewe wka mda mefu, wengi watasema naondoka tu sahivi, mwanamke yye akija mambo yakinoga anaweza baki kabisa kwako, akili zao wanazijua wenyewe, au acha niseme kitu kimoja leo, wanaume wengi wanaogopa san wale wanawake wanaokuja geto na kusema nina dakika tano tu hapa, ukiona girl amesema hivyo jua ana hamu ya kufa mtu hivyo ana hamu ya kuchezewa, na nakuambia ukweli kwua ukianza kumchezea vizuri utashangaa dakika tano alizosem zinageuka kwua masaa kumi tena hadi umuambie vipi tunalala hadi asubuhi, hapo ataona aibu kukuambia ndio hapo atasingizia nilichoka sana, wanawake kwani wewe huwajui ?. hivyo swali la kuhusu muda wa kuondoka achana nalo.
4) Vipi tutumie staili gani ? hapa wanaume wengi tunazidi kufeli kwa sababu mwananke ni vigumu kufanya machaguzi yoyote katika ku sex hasa pale mwanzo kabisa labda wew uanze unavyojua kisha utaona tu naye anabuni stail yake , sasa kwa haraka ukimuuliza tutumie stsikl gani atakujibu yoyote tu,na hapo utamlaza kifo cha mende kwa sababu ndiyo rahisi kwako. Ni makosa kumuuliza mwanamke mambo haya..
5) Vipi unasikiaje ?, sasa hili swali hivi wanaume tunataka tujiwe vipi ? ni vgumu sana mwanamke kusema kuwa sisikii vizuri, wao kila kitu watajibu kukuridhidha tu, sasa ukifanya vizuri wewe huna haja ya kumuuliza zaidi utaona tu majibu yake kihisia, story za kumuulzia sijui umekojoa, sijui nakufurahisha achana nayo , ukimuulia umekojoa mara ngapi atakujibu nimkojoa mara tatu,kumbe hata hajui kama umeshaingiza au bado, yaani apo anaona kama unachafua tum, na hapo kwa hasira naweza kukuambia ameacha maharage jikoni, ili tu umuachie awahi nyumbani.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz