KWA NINI WANAWAKE WANAPENDA ZAIDI MWANAUME AMBAYE ANAMFAHAMU KULIKO ASIYE MFAHAMU? - EDUSPORTSTZ

Latest

KWA NINI WANAWAKE WANAPENDA ZAIDI MWANAUME AMBAYE ANAMFAHAMU KULIKO ASIYE MFAHAMU?

Image may contain: 2 people, people smiling, people standing and outdoor
Majibu ni mafupi sana, Mwanamke ili aweze kumpenda mwanaume anahitaji mambo mawili kwa mwanaume huyo;
■ USALAMA WAKE.
■ KUIJUWA TABIA YAKE.
Ndo maana Wanawake hushawishika haraka kwa mwanaume anae muona matendo na tabia nzuri alizonazo, Ili Mwanamke aweze kujuwa HISIA zake kwa mwanaume ni wazi anahitaji muda na ukaribu wa mtu huyo, Mwanamke akiyabaini haya kwa mwanaume huishi kwa kujiamini sana;
¤ UKARIBU.
¤ URAFIKI.
¤ HURUMA.
¤ KULINDWA.
Yakikosekana hayo ni kweli Mwanamke hawezi kumpenda mwanaume hata kama umefunga nae ndoa ama umeishi nae na kuzaa nae, anaweza kuvumilia kwa sababu zake but nikwambie IKO SIKU ATAKUACHA HUTAAMINI! Hawa viumbe waitwao MWANAMKE ni wazuri na watu wanaopenda sana waishi maisha akiwa na Mwanaume, ni jukumu la kila mwanaume kuijuwa nafasi yake kwa Mwanamke, ukiona sifai kukufundisha basi mrejeshe mkeo kwenye hali ya Umwanamke wake ili uepuke fedheha Maana MWANAMKE anapokuwa anakutungia SHERIA jiandae kuiona dunia chungu.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz