VIONGOZI YANGA WAISUSIA TIMU - EDUSPORTSTZ

Latest

VIONGOZI YANGA WAISUSIA TIMU


Hali imezidi kuwa mbaya kwenye klabu ya yanga baada ya kumaliza msimu nafasi ya 3 huku wakiwa na matokeo mabaya toka kocha wake mkuu george lwandamina alipoiacha timu hiyo.

kuondoka kwa george lwandamina kulielezwa kwamba ni mipango mibovu ndani ya klabu hiyo.

Lakini hali imezidi kuwa mbaya zaidi baada ya kiongozi mwingine kuachia nafasi hiyo.

Mkemi ni moja ya kiongozi wa yanga alieachia nafasi yake rasmi ndani ya klabu hiyo baada ya kile alichokisema kupitia ukurasa wake wa instagram, kupisha mawazo na misingi mipya ndani ya klabu hiyo ili kuikoa ilipo.

mkemi aliyehudumu ndani ya klabu hiyo kwa mafanikio makubwa sana. Ameng'atuka rasmi na atabaki kama mwanachama tu wa klabu hiyo.


Enter your email address:


Delivered by EDUSPORTSTZ
Subscribe to EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz