
Mataifa yote 32 ambayo yanashiriki Kombe la Dunia mwaka huu yametoa jezi zao.
Hapa chini ni jezi za nyumbani ambazo wachezaji wa kila taifa watavalia uwanjani.
Jezi za Nigeria zilipoanza kuuzwa, zilinunuliwa zote siku ya kwanza. Watu milioni tatu walikuwa wameziagiza jezi hizo hata kabla zianze kuuzwa.
Kundi A
Urusi

Saudi Arabia

Misri

Uruguay

Kundi B
Ureno

Uhispania

Morocco

Iran

Kundi C
Ufaransa

Australia

Peru

Denmark

Kundi D
Argentina

Iceland

Croatia

Nigeria

Kundi E
Brazil

Uswizi

Costa Rica

Serbia

Kundi F
Ujerumani

Mexico

Sweden

Korea Kusini

Kundi G
Ubelgiji

Panama

Tunisia

England

Kundi H
Poland

Senegal

Colombia

Japan

EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
No comments:
Post a Comment