ZIFAHAMU MECHI NNE ZA LIGI KUU BARA ZINAZOCHEZWA LEO MEI 19 2018 - EDUSPORTSTZ

Latest

ZIFAHAMU MECHI NNE ZA LIGI KUU BARA ZINAZOCHEZWA LEO MEI 19 2018

Ligi kuu Tanzania bara


Jumla ya mechi nne za Ligi Kuu Tanzania Bara zinapigwa leo katika viwanja tofauti nchini ambapo moja pekee itaanza saa 8 mchana.


Mwadui FC vs Young Africans - CCM Kambarage, Shinyanga (Saa 10:00 Jioni)

Simba SC vs Kagera Sugar - Uwanja wa Taifa (Saa 8:00 Mchana)

Singida United vs Majimaji FC - Namfua Stadium ( Saa 10:00 Jioni)

Lipuli FC vs Mbeya City - Samora Stadium (Saa 10:00 Jioni)
EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
Enter your email address:

Delivered by EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz