Wachezaji |
Magoli mengine yamefungwa na Yusuph Mhilu huku goli la tatu likitokana na mchezaji wa Kagera Sugar Juma Shemvuni.
Matokeo ya mchezo kati ya kagera sugar na yanga |
Yanga imefikisha pointi 43 baada ya mechi 20 hivyo kurudi katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kwa kuitoa Azam ambayo ina pointi 41 ikiwa imecheza mechi 21. Simba bado inaendelea kuongoza ligi ikiwa na pointi 46 baada ya kucheza mechi 20.
Msimamo Wa ligi kuu |
EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
No comments:
Post a Comment