MAJIBU YA HAJI MANARA BAADA YA TETESI ZA GENDERMARIE KUKATA RUFAA CAF - EDUSPORTSTZ

Latest

MAJIBU YA HAJI MANARA BAADA YA TETESI ZA GENDERMARIE KUKATA RUFAA CAF





Moja kati ya habari zilizoenea katika mitandao ya kijamii baada ya club ya Simbakufanikiwa kufuzu hatua inayofuata ya michuano ya Kombe la shirikisho barani Afrika CAF kwa kuitoa Gendermarie ya Djibout kwa jumla ya magoli 5-0.



Baada ya kufuzu kulianza minong’ono kuwa Gendermarie kama wakikata rufaa dhidi ya Simba, basi Simba watatolewa kutokana na kufanya udanganyifu kutokana na kumtumia mchezaji Paul Bukaba ambaye ni raia wa Burundi lakini ameandikwa kama mtanzania.



Haji Manara ametoa amefafanua kuhusiana na stori hizo na kusema kuwa Bukaba ni mtanzania “Tunazo taarifa za hovyo zinazosambazwa eti mchezaji wetu huyo ni Mrundi na hIvyo tutakatiwa rufaa dhidi ya Wadjibout.. Poul Bukaba @bukaba_paul ni mtanzania na Urundi alienda kucheza Soka tu”



“Anamiliki uraia wa kuzaliwa wa Tanzania…tafuteni lingine hili mmenoa na pia hangaikeni na yenu ikiwemo kulipa mishahara ya wachezaji wenu….Ndegelec”


EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
Enter your email address:


Delivered by EDUSPORTSTZ
Subscribe to EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz