BOCCO MCHEZAJI BORA MWEZI JANUARI - EDUSPORTSTZ

Latest

BOCCO MCHEZAJI BORA MWEZI JANUARI


Image result for john bocco simba

TFF imemchagua mshambuliaji John Bocco kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu Bara kwa Januari, mwaka huu.



Bocco alikuwa akishindana kwa karibu na mshambuliaji mwingine wa Simba, Emmanuel Okwi.


Hata hivyo, Bocco ameibuka bora akiwa mchango wake ni juu zaidi pia mabao zaidi aliyofunga.



Pacha ya Okwi na Bocco inaonekana kuwa bora zaidi na kuifanya Simba kuwa hatari zaidi.

Elimu Yetu
EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati. Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno
EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz