TAMBWE KUREJEA YANGA KESHO - EDUSPORTSTZ

Latest

TAMBWE KUREJEA YANGA KESHO



Young Africans

Mshambuliaji wa Yanga, Hamis Tambwe anatarajia kurejea nchini kesho baada ya kuhudhuria kesi yake ya masuala ya ardhi kwao Burundi.


Tambwe alilazimika kusafiri hadi Burundi baada ya kuwa kuna mgogoro wa ardhi uliosababisha kufikia uamuzi wa kumalizana mahakamani.


"Ijumaa alikwenda kwenye kesi baada ya hapo atarejea Dar es Salaam kwa ajili ya kazi," alisema ndugu yake.


"Nafikiri mambo yataenda vizuri kwa kuwa wale jamaa waliingia katika kiwanja cha Tambwe na sasa mambo yanaenda vizuri."


EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati http://www.edusportstz.com ni fahari ya wasomaji
Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz