REAL MADRID YABEBA KOMBE LA KLABU BINGWA DUNIANI - EDUSPORTSTZ

Latest

REAL MADRID YABEBA KOMBE LA KLABU BINGWA DUNIANI




Club ya Real Madrid ya Hispania usiku wa December 16 2017 ilikuwa Dubai kucheza mchezo wake wa fainali ya Club Bingwa dunia dhidi ya club ya Gremio.

Real Madrid walishusha kikosi chao kamili kuwania taji hilo la club Bingwa Dunia, jambo ambalo liliwasaidia na kuwafanya waibuke na ushindi wa goli 1-0 lililofungwa na Staa wao Cristiano Ronaldo, hata hivyo Ronaldo anaweka rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa michuano hiyo kwa kufikisha goli la saba

Ushindi wa 1-0 umeifanya Real Madrid kutwaa taji lake la tatu la club Bingwa dunia sawa na wapinzani wao wa jadi FC Barcelona ambao nao wamefanikiwa kutwaa taji hilo mara tatu.

EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati http://www.edusportstz.com ni fahari ya wasomaji
Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz