MASHABIKI WA ARSENAL NCHINI WALIVYOONYESHA UPENDO ULIOPITILIZA KWA WAGONJWA MWANANYAMALA - EDUSPORTSTZ

Latest

MASHABIKI WA ARSENAL NCHINI WALIVYOONYESHA UPENDO ULIOPITILIZA KWA WAGONJWA MWANANYAMALA






Mashabiki wa klabu ya Arsenal walio hapa nchini Tanzania, wameonyesha upendo wa that baada ya kutembelea hospitali, wakatoa michango ya vifaa pamoja na kutoa damu.


Jana Desemba 16, 2017, mashabiki hao wa Arsenal maarufu kama Arsenal Supporters Club Tanzania (ASCTZ)
wamechangia viti 6 vya magurudumu (wheelchairs) na kushiriki katika zoezi la kuchangia damu salama katika Hospitali ya Mwananyamala katika kuunga mkono juhudi za serikali kupunguza vifo vya akina mama wanaojifungua na watoto wachanga.


MAWASILIANO YAO....
Mboka Francis (0717955539)
Club Secretary

Arsenal Tanzania Supporters' Club




































EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati http://www.edusportstz.com ni fahari ya wasomaji
Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz