SIMBA YAWEKA KAMBI SUMBAWANGA - EDUSPORTSTZ

Latest

SIMBA YAWEKA KAMBI SUMBAWANGA




Kikosi cha Simba Chaweka Kambi Sumbawanga

Simba ambayo ilikuwa Katavi ambako ilicheza mechi ya kirafiki na kutoka sare ya 0-0, sasa imehamia mjini Sumbawanga na kuanzisha kambi.

Kambi ya Simba mjini Sumbawanga itaendelea hadi Jumamosi itakapocheza na Rukwa FC ikiwa ni mechi nyingine ya kirafiki.

Baada ya mechi hiyo, Simba itafunga safari kurejea Mbeya kufanya maandalizi yake ya mwisho dhidi ya Prisons ya Mbeya.

Simba itaanza kujifua leo alasiri kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, uwanja ambao utatumika katika mechi yao dhidi ya Rukwa FC.

Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz